EWURA yakabidhi mashuka katika vituo vya afya

Na Barnabas kisengi Dodoma  MAMLAKA ya udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA)imetoa msaada wa Mashuka 431 yenye thamani ya Shilingi Milioni tano kwa Vituo  vya Afya vya Makole,Hombolo,Mkonze na Kikombo kama sehemu ya kuadhimisha wiki ya utumishi wa Umma kwa lengo la kuboresha huduma za Afya kwa jamii. Akizungumza na Waandishi wa Habari