EWURA yakabidhi mashuka katika vituo vya afya
Na Barnabas kisengi Dodoma MAMLAKA ya udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA)imetoa msaada wa Mashuka 431 yenye thamani ya Shilingi Milioni tano kwa Vituo vya Afya vya Makole,Hombolo,Mkonze na Kikombo kama sehemu ya kuadhimisha wiki ya utumishi wa Umma kwa lengo la kuboresha huduma za Afya kwa jamii. Akizungumza na Waandishi wa Habari
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed